الموقع الأكبر لتحميل الكتب مجانا



معلومات الكتاب
Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu
المؤلف : محمد صالح المنجد

التصنيف : إسلامية باللغة السواحلية

  مرات المشاهدة : 181

  مرات التحميل : 181

تقييم الكتاب



نشر الكتاب



تفاصيل عن كتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu
2016م - 1444هـ
Kila sifa njema ni zake Mwenyezi Mungu

aliye juu mwingi wa kusamehe, sala na

salamu ziwe juu ya Mtume wake mteule, na

ziwe juu ya watu wake na maswahaba zake,

na wote waliokuja baada yao, amma baad.

Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu ameweka

baadhi ya masiku kuwa bora kuliko mengine,

na hakuna msimu wowote ulio bora ila

Mwenyezi Mungu anaweka wadhifa bora wa

kumtii, basi mtu mwenye mafanikio ni yule

anaeitumia nafasi ya misimu ya miezi,

masiku na masaa, na akajikurubisha kwa

Mola wake ndani ya masiku hayo, kwa

kufanya twaa, huenda akapata mafanikio

ndani ya masiku hayo, ambayo yatampa

amani kutokana na moto wa jahanam.





Na miongoni mwa matendo makubwa yaliyo

bora katika masiku kumi ya mwisho ya

mwezi mtukufu wa Ramadhan:

Itikafu: Mwenyezi Mungu ameitaja katika

aya za swaum, amesema Mwenyezi Mungu

Mtukufu: {Wala msichanganyike nao

(msiwaingilie), na hali mnakaa Itikafu

msikitini. Hiyo ni mipaka ya Mwenyezi

Mungu, basi msiikaribie. Namna hivi

Mwenyezi Mungu anabainisha Ishara zake

kwa watu ili wapate kumcha}. (Al-baqrah:

187).

K















Kitabu hiki kina zungumzia Mwangaza kuhusu ibada ya kukaa itikafu, maana yake adabu zake na masharti ya itikafu na faida zake, pia kimelezea sehemu na wakati wa itikafu, na itikafu ya mfanya kazi na makosa ya wanaofanya itikafu.


قراءة اونلاين لكتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu

يمكنك الاستمتاع بقراءة كتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu اونلاين وعلى الموقع الخاص بنا من خلال الضغط على زر قراءة بالاسفل

من خلال صفحة القراءة اونلاين

تحميل كتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu

كتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu يمكنك تحميله من خلال الدخول الى صفحه التحميل من

صفحة تحميل كتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu PDF

او يمكنك التحميل المباشر من خلال الضغط


الابلاغ


يمكنك الابلاغ عن الكتاب بناء على احد الاسباب التاليه
1 - الابلاغ بخصوص حقوق النشر والطباعه
2 - رابط مشاهد او تحميل لا يعمل
وستقوم الادارة بالمراجعه و اتخاذ الاجراءات اللازمه , وفي حالة وجود اي استفسار اخر يمكنك الاتصال بنا