2016م - 1444هـ
Kila sifa njema ni zake Mwenyezi Mungu
aliye juu mwingi wa kusamehe, sala na
salamu ziwe juu ya Mtume wake mteule, na
ziwe juu ya watu wake na maswahaba zake,
na wote waliokuja baada yao, amma baad.
Hakika Mwenyezi Mungu Mtukufu ameweka
baadhi ya masiku kuwa bora kuliko mengine,
na hakuna msimu wowote ulio bora ila
Mwenyezi Mungu anaweka wadhifa bora wa
kumtii, basi mtu mwenye mafanikio ni yule
anaeitumia nafasi ya misimu ya miezi,
masiku na masaa, na akajikurubisha kwa
Mola wake ndani ya masiku hayo, kwa
kufanya twaa, huenda akapata mafanikio
ndani ya masiku hayo, ambayo yatampa
amani kutokana na moto wa jahanam.
Na miongoni mwa matendo makubwa yaliyo
bora katika masiku kumi ya mwisho ya
mwezi mtukufu wa Ramadhan:
Itikafu: Mwenyezi Mungu ameitaja katika
aya za swaum, amesema Mwenyezi Mungu
Mtukufu: {Wala msichanganyike nao
(msiwaingilie), na hali mnakaa Itikafu
msikitini. Hiyo ni mipaka ya Mwenyezi
Mungu, basi msiikaribie. Namna hivi
Mwenyezi Mungu anabainisha Ishara zake
kwa watu ili wapate kumcha}. (Al-baqrah:
187).
K
Kitabu hiki kina zungumzia Mwangaza kuhusu ibada ya kukaa itikafu, maana yake adabu zake na masharti ya itikafu na faida zake, pia kimelezea sehemu na wakati wa itikafu, na itikafu ya mfanya kazi na makosa ya wanaofanya itikafu.
يمكنك الاستمتاع بقراءة كتاب
Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu
اونلاين وعلى الموقع الخاص بنا من خلال الضغط على زر قراءة بالاسفل
كتاب
Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu
يمكنك تحميله من خلال الدخول الى صفحه التحميل من