2011م - 1444هـ
Kikundi cha wanafunzi wa chuo
Qur'ani ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na ubora wake, ukilinganisha na
maneno mengine, ni kama ubora wa Mwenyezi Mungu juu ya viumbe wake.
Kuisoma Qur'ani ni jambo bora sana ambalo ulimi ume
litamka.
MIONGONI MWA FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR'NI NA
KUIFUNDISHA NI:
MALIPO YA KUIFUNDISHA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Mbora wenu zaidi ni yule
aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".
Bukhari.
MALIPO YAKUISOMA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, amesema kuwa:
"Mwenye kusoma herufi katika kitabu cha
Mwenyezi Mungu atapata zuri (moja) kwa herufi hiyo
(moja aliyoisoma), na zuri
(moja) ni kwa mazuri kumi mfano wake
"
.
Tirmidhiy
.
FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR’ANI, KUIHIFADHI NA KUISOMA
KWA UHODARI
Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu
amfikishie rehema na amani, kwamba:
"Mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na
ilhali ni mwenye kuihifadhi, atakuwa pamoja na Malaika, Watukufu, Wema. Na
mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na ilhali yeye anaipatiliza na huku ikiwa
ngumu kwake, basi atapata malipo mawili"
.
Bukhari,
Muslim
.
Na Amesema Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie
rehema na amani, kuwa:
"
Ataambiwa msomaji wa Qur'ani kwamba: Soma na
panda (daraja) na soma kama ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako ni
pale mwisho wa aya utakayoisoma".
Tirmidhiy
.
MALIPO YA MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema
kuwa:
"Yeyote aliyesoma Qur'ani na akajifunza na akaitekeleza, wazazi wake
watavalishwa taji la nuru Siku ya Kiyama. Mwangaza wake ni mfano wa
mwangaza wa jua. Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo,
watauliza: Ni kwa sababu ya jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa
sababu ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani"
.
Al-haakim
.
QUR'ANI KUMUOMBEA MSOMAJI WAKE HUKO AKHERA
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:
"Someni Qur'ani, kwani itakuja Siku ya Qiyama ikiwa ni muombezi wa wasomaji
wake"
.
Muslim
.
Aidha Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani,
amesema kuwa:
"Saumu na Qur'ani zitamuombea mja Siku ya Kiyama".
Ahmad, Al-
haakim
.
MALIPO YA KUJUMUIKA KWA AJILI YA KUSOMA QUR'ANI NA
KUIDURUSU
Mtume,
(
Swalla Allaahu ‘alayhi
wa aalihi wa sallam
)
Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na
amani, amesema kuwa:
"Hawakukusanyika watu katika nyumba miongoni mwa
nyumba za Mwenyezi Mungu Mtukufu wakikisoma kitabu chake na kukidurusu
FADHILA ZA
QUR’ANI
3
baina yao isipokuwa tu unawashukia utulivu na inawaenea rehma na Malaika
huwazunguka na Mwenyezi Mungu huwataja pamoja na viumbe walioko kwake
"
.
Abudaud
BAADHI YA KANUNI ZA USOMAJI:
TARATIBU ZA USOMAJI
Ibn-kathiir ametaja taratibu nyingi. Miongoni
mwake ni hizi: Mtu kutoshika Qur'ani na kutoisoma isipokuwa tu anapokuwa
twahara, kupiga mswaki kabla ya kuisoma Qur'ani, mtu kuvaa nguo zake nzuri
sana, kuelekea Qibla, kusitisha kusoma mtu anapokwenda myayo, kutokatisha
kusoma kwa kuzungumza isipokuwa tu kwa dharura, kuw
a makini, kusitisha
kusoma katika aya za ahadi (za rehma) ili msomaji a
ombe (rehma) na kusitisha
kusoma katika aya za makamio (ya adhabu) ili msomaj
i aombe kinga, kutouweka
msahafu ukiwa umetandazwa chini na kutoweka kitu chochote juu yake, baadhi ya
wasomaji kutosoma kwa sauti ya juu mbele ya baadhi
ya wasomaji wengine (ili
wasiwe kero) katika kusoma na kutosoma masokoni na katika sehemu za zogo.
NAMNA YA KUSOMA
*
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI TUKUFU
يمكنك الاستمتاع بقراءة كتاب
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
اونلاين وعلى الموقع الخاص بنا من خلال الضغط على زر قراءة بالاسفل
كتاب
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
يمكنك تحميله من خلال الدخول الى صفحه التحميل من