الموقع الأكبر لتحميل الكتب مجانا



معلومات الكتاب
TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
المؤلف : مجموعة من المؤلفين

التصنيف : إسلامية باللغة السواحلية

  مرات المشاهدة : 258

  مرات التحميل : 258

تقييم الكتاب



نشر الكتاب



تفاصيل عن كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU
2011م - 1444هـ
Kikundi cha wanafunzi wa chuo





Qur'ani ni maneno ya Mwenyezi Mungu, na ubora wake, ukilinganisha na

maneno mengine, ni kama ubora wa Mwenyezi Mungu juu ya viumbe wake.

Kuisoma Qur'ani ni jambo bora sana ambalo ulimi ume

litamka.

MIONGONI MWA FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR'NI NA

KUIFUNDISHA NI:

MALIPO YA KUIFUNDISHA

Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu

amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:

"Mbora wenu zaidi ni yule

aliyejifunza Qur'ani na akaifundisha".

Bukhari.

MALIPO YAKUISOMA

Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu amfikishie

rehema na amani, amesema kuwa:

"Mwenye kusoma herufi katika kitabu cha

Mwenyezi Mungu atapata zuri (moja) kwa herufi hiyo

(moja aliyoisoma), na zuri

(moja) ni kwa mazuri kumi mfano wake

"

.

Tirmidhiy

.

FADHILA ZA KUJIFUNZA QUR’ANI, KUIHIFADHI NA KUISOMA

KWA UHODARI

Amesema Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu

amfikishie rehema na amani, kwamba:

"Mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na

ilhali ni mwenye kuihifadhi, atakuwa pamoja na Malaika, Watukufu, Wema. Na

mfano wa ambaye anaisoma Qur'ani na ilhali yeye anaipatiliza na huku ikiwa

ngumu kwake, basi atapata malipo mawili"

.

Bukhari,



Muslim

.

Na Amesema Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu amfikishie

rehema na amani, kuwa:

"

Ataambiwa msomaji wa Qur'ani kwamba: Soma na

panda (daraja) na soma kama ulivyokuwa ukisoma duniani, kwani daraja yako ni

pale mwisho wa aya utakayoisoma".

Tirmidhiy

.

MALIPO YA MTU AMBAYE MTOTO WAKE AMEJIFUNZA QUR’ANI

Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema

kuwa:

"Yeyote aliyesoma Qur'ani na akajifunza na akaitekeleza, wazazi wake

watavalishwa taji la nuru Siku ya Kiyama. Mwangaza wake ni mfano wa

mwangaza wa jua. Na wazazi wake watavalishwa suti mbili, na kwa sababu hiyo,

watauliza: Ni kwa sababu ya jambo gani tumevishwa haya? Watajibiwa: Ni kwa

sababu ya mtoto wenu kujifinza Qur'ani"

.

Al-haakim

.

QUR'ANI KUMUOMBEA MSOMAJI WAKE HUKO AKHERA

Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani, amesema kuwa:

"Someni Qur'ani, kwani itakuja Siku ya Qiyama ikiwa ni muombezi wa wasomaji

wake"

.

Muslim

.

Aidha Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na amani,

amesema kuwa:

"Saumu na Qur'ani zitamuombea mja Siku ya Kiyama".

Ahmad, Al-

haakim

.

MALIPO YA KUJUMUIKA KWA AJILI YA KUSOMA QUR'ANI NA

KUIDURUSU

Mtume,

(

Swalla Allaahu ‘alayhi

wa aalihi wa sallam

)

Mwenyezi Mungu amfikishie rehema na

amani, amesema kuwa:

"Hawakukusanyika watu katika nyumba miongoni mwa

nyumba za Mwenyezi Mungu Mtukufu wakikisoma kitabu chake na kukidurusu

FADHILA ZA

QUR’ANI

3





baina yao isipokuwa tu unawashukia utulivu na inawaenea rehma na Malaika

huwazunguka na Mwenyezi Mungu huwataja pamoja na viumbe walioko kwake

"

.

Abudaud

BAADHI YA KANUNI ZA USOMAJI:

TARATIBU ZA USOMAJI

Ibn-kathiir ametaja taratibu nyingi. Miongoni

mwake ni hizi: Mtu kutoshika Qur'ani na kutoisoma isipokuwa tu anapokuwa

twahara, kupiga mswaki kabla ya kuisoma Qur'ani, mtu kuvaa nguo zake nzuri

sana, kuelekea Qibla, kusitisha kusoma mtu anapokwenda myayo, kutokatisha

kusoma kwa kuzungumza isipokuwa tu kwa dharura, kuw

a makini, kusitisha

kusoma katika aya za ahadi (za rehma) ili msomaji a

ombe (rehma) na kusitisha

kusoma katika aya za makamio (ya adhabu) ili msomaj

i aombe kinga, kutouweka

msahafu ukiwa umetandazwa chini na kutoweka kitu chochote juu yake, baadhi ya

wasomaji kutosoma kwa sauti ya juu mbele ya baadhi

ya wasomaji wengine (ili

wasiwe kero) katika kusoma na kutosoma masokoni na katika sehemu za zogo.



NAMNA YA KUSOMA

*









TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR’ANI TUKUFU


قراءة اونلاين لكتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU

يمكنك الاستمتاع بقراءة كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU اونلاين وعلى الموقع الخاص بنا من خلال الضغط على زر قراءة بالاسفل

من خلال صفحة القراءة اونلاين

تحميل كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU

كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU يمكنك تحميله من خلال الدخول الى صفحه التحميل من

صفحة تحميل كتاب TAFSIRI YA SHEMU YA KUMI YA MWISHO YA QUR rsquo ANI TUKUFU PDF

او يمكنك التحميل المباشر من خلال الضغط


الابلاغ


يمكنك الابلاغ عن الكتاب بناء على احد الاسباب التاليه
1 - الابلاغ بخصوص حقوق النشر والطباعه
2 - رابط مشاهد او تحميل لا يعمل
وستقوم الادارة بالمراجعه و اتخاذ الاجراءات اللازمه , وفي حالة وجود اي استفسار اخر يمكنك الاتصال بنا